Uyu Ndiye Msanii Wa Bongo Aliye Fanana Na Agust Alsina

Msanii Ambaye kafanana kabisa na August alsina wa Bongo anaitwa Wildad Ambaye alikua Chini Ya The Industry Ya Producer Mkali Nahreel lakini inasemekana kwa sasa Wildad kajitoa kwenye label iyo Tazama Picha Yake Afu Toa Maoni Yako

Comments

Popular posts from this blog

Cristiano Ronaldo ametangaza jina la mtoto wake wa Nne

Gigy Money afunguka kupata mtoto