Posts

Showing posts from 2017

Hukumu ya shabiki aliyevamia nyumba ya Justin Bieber imetoka

Image
Shabiki Mirabelli Stefania aliyevamia nyumba ya Justin Bieber amekubali kosa alilofanya na jaji kumpa hukumu wiki hii . Mirabelli Stefania amepewa kifungocha siku nane jela na atakuwa chini ya uangalizi mkali wa polisi kwa muda wa miezi 12, hata ruhusiwa kukaribia nyumba ya Justin Bieber. Stefania alikamatwa na polisi akijaribu kuingia kwenye nyumba ya Justin huko Bev Hills, USA wiki iliyopita .

Maelezo ya msanii T.I.D Kuhusu picha na mwanamke Kitandani.

Image
Baada ya maneno mengi mitandaoni kuhusu picha ya T.I.D. Na mwanamke mmoja kitandani , staa huyu wa bongo fleva ameamua kutoa maelezo juu ya picha ile na mazingira waliyokuwepo wakati inapigwa . Kupitia Ig yake T.I.D Anasema “Naomba Nieleweke Hivi … Namuheshimu huyu Dada na pia naheshimu Familia yake Naona Watu wengi wameamua kuonyesha Jealous zao kupitia Picha ambayo imesambaa kwenye Mitandao , Ukweli ni Kwamba tulikuwa kwenye Kipande cha Video yangu Mpya Inayokuja Soon,so pliz naomba Muheshimu Kazi na Utu wake Kwangu ”.

Cristiano Ronaldo ametangaza jina la mtoto wake wa Nne

Image
Staa wa soka duniani Cristiano Ronaldo ametumia Insta LIVE kutufahamisha kuwa mtoto wake wa NNE na Wakike anayetarajia kumpata na mpenzi wake Georgina Rodriguez ataitwa Alana Martina . Cristiano Ronaldo anasema “Mimi nimechagua jina la kwanza na mpenzi wake Georgina amechagua la pili, jina la mtoto wangu wa kike litakuwa Alana Martina , Matumaini yangu ni jina zuri”. TMZ Imeripoti kuwa ni takribani siku 23 sasa zimebaki mpaka mtoto huyu kuja duniani Ronaldo ana watoto watatu tayari, Cristiano Ronaldo Junior na mapacha Eva Martia na Mateo

Gigy Money afunguka kupata mtoto

Image
Msanii wa muziki na video vixen Bongo, Gigy Money amesema mwakani anatarajia kupata mtoto. Gigy ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Papa’ ameiambia E Fm Radio kuwa hicho ni kitu ambacho yeye na mpenzi wake wameshakaa na kukijadili . “ Watengemee tu mwakani nitakuwa na mtoto Mungu akinisaidia , yaani hiyo ni lazima ” amesema Gigy Money. Katika hatua nyingine Gigy Money ameongeza kuwa huu ni mwaka wa tatu yupo na mpenzi wake hivyo ni muda sahihi kufanya hivyo .

Picha: Diamond aweka rekodi Afrika na kupatiwa tuzo, Zari atoa pongezi

Image
Msanii wa Bongo Flava, Diamond Platnumz amepatiwa tuzo na label ya Universal Music Group ( UMG ) hapo jana October 27 mara baada ya wimbo wake Marry You aliomshirikisha Ne -Yo kufikisha mauzo ya platinums sita, hivyo kumfanya kuwa msanii wa kwanza Afrika chini ya label hiyo kufikisha idadi hiyo ya mauzo . Leo nimekuwa msanii Leo nimekuwa msanii wa kwanza wa kiafrika alosainiwa Universal Music Group kufikisha Mauzo ya nyimbo yake Platinum Mara sita Mfululizo kupitia nyimbo ya # MarryYou nilomshirikisha @ Neyo …. kwa niaba ya Team yangu na @ neyo tungependa kuwashukuru Mashabiki na Media zote Ulimwenguni …) # ABoyFromTandale Ujumbe huo aliandika Diamond katika mtandao wa kijamii wa Instagram akielezea furaha yake ya kushinda tuzo hiyo, hata hivyo Baby Mama wake, Zari The Boss Lady naye alimchukua muda wake na kumpongea Diamond kwa kuandika ;. Congrats babe @ diamondplatnumz for becoming the first African Artist signed under Uni...

Xavi: Neymar alitaka kujiunga na PSG katika harusi ya Messi

Image
Nahodha wa zamani wa Barcelona Xavi amefichua kuwa Neymar alifichua habari za kutaka kujiunga na klabu ya PSG katika harusi ya Lionel Messi. Ripoti za Neymar kutaka kuondoka Barcelona msimu uliopita na kuhusishwa kwake na PSG zilianza kubainika lakini zikashika kas ,i na kufikia Agosti 3 Neymar alijiunga na PSG hadi 2022 kwa kitita kilichovunja rekodi ya dunia cha £198m. Lakini kulingana na Xavi , Neymar alifichua mpango huo mwezi mmoja kabla katika harusi ya Lionel Messi wakati mshindi huyo wa mataji 5 ya mchezaji bora Ballon d'Or alipofunga ndoa na mpenziwe wa miaka mingi Antonella Roccuzzo nchini Argentina. Raia huyo wa Brazil aliwaambia rafikize kuhusu azma yake ya kutaka kuondoka . Akizungumza na BBC , Xavi ambaye aliichezea Barcelona mechi 700 na kushinda mataji 8 ya La Liga pamoja na makombe manne ya vilabu bingwa Ulaya alisema . Alituambia siku ya harusi ya Messi kwamba anataka mabadiliko , alitaka k...

Bibi Mpishi Wa YouTube

Image
Waswahili Wanakwambia Miaka Ni Namba Tu Hina hesabiwa Ayo Yamesibitishwa Na Bibi Ambaye Amefahamika Kwa Jina La Mastanamma Bibi uyu Wa Kihindi Mwenye Umri wa Miaka 106 Amekua Akiwa Fundisha Watu Kupika Katika Account Yake Ya YouTube Ambayo Alifunguliwa Na Mjukuu Wake Kwa Sasa Bibi Uyo amepata Wafwasi Wengi Kutokana  Kwa  kuwapa   Mabinti Wa Saivi Ujuzi Ambayo Yeye alifundushwa Na Mama Ake.. Na hii Ndo Link Ambayo na We Unaweza Jifunza Mapishi Ya Bibi Uyu.. https://www.youtube.com/channel/UCKEPJo5eTHbKDgHxvUSR9Jw

Rapper Rick Ross Amemwambia Birdman Alipe Hela

Image
Birdman Vs li l wayne Ni Beef Kati Ya Baba Na Mtoto ake .Birdman Boss Wa Cash Money Ambaye Ni Baba Ake Wakambo Lil Wayne Alikuja Juu Kwenye Social Network Siku Tatu Zilizo Pita Na Kuwaambia watu Wafunge Midomo Yao Sababu Yeye Ni Baba kwa Lil Wayne Kwa Hiyo Beef KatiYao itaisha Tu. Baada Ya Birdman Kusema Ivo Rick Ross Boss Wa MMG Music Group Aka Tweet Na Kumwambia Birdman Lipa Izo Hela sio Unaleta Porojo Tu..Ata Ivo Birdman Aja Mjibu Bado Rick Ross

Rapper Travis Scott Na Kylie Jenner Wanategemea Kupata mtoto

Image
Ra pper Travis Scott amesema Ayo katika jarida la Hollywood news Mjini Las Vegas nakusibitisha yakwamba Kylie Ambaye Ni Mdgo Wa Kim Kardashian Anaujauzito wake kwa Saiv japo Wame date kwa Muda Mchache Tu ata Ivo kasema Amna Beef Kati Yake Na Tyga kutokana na rumors Kuwa wanabeef kisa kylie Jenner

Uyu Ndiye Msanii Wa Bongo Aliye Fanana Na Agust Alsina

Image
Msanii Ambaye kafanana kabisa na August alsina wa Bongo anaitwa Wildad Ambaye alikua Chini Ya The Industry Ya Producer Mkali Nahreel lakini inasemekana kwa sasa Wildad kajitoa kwenye label iyo Tazama Picha Yake Afu Toa Maoni Yako

Nyimbo Mpya Ya Harmonize Imeitoa Nyimbo Ya Aslay Natamba Kene 1st Trending Song Kwa Tanzania Itazame Hapa

HARMONIZE FT KOREDE BELLO - SHULALA (OFFICIAL VID…: http://youtu.be/X0lQt3w2Ur4
Black ink words 4 words remix

cheki chenga ya dunia

Image

Tazama Diamond Platnumz na Zari wakicheza Taarabu kwenye 40 ya Nillan

Image

Diamond Platnumz performing live KIZAIZAI at jangwani sea breeze 2016

Image